Mkakati na Miongozo kwa Watoto Wanaoishi na Kufanya Kazi Mtaani
Vipakuliwa
Muhtasari
Mkakati na Miongozo kwa watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani imeandaliwa ili kutoa mwongozo wa huduma na programu zitakazotolewa kwa watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani. Imeeleza baadhi ya hatua muhimu za kuwaleta wahusika wote katika utambuzi wa huduma bora kwa watoto hawa. Mchakato wa kuandaa Mkakati na Miongozo hii ulikuwa ni ubia kati ya Serikali na Asasi za Kiraia zinazoongozwa na kuratibiwa na Idara ya Maendeleo ya Jamii. Dhamira iliyoonyeshwa na sekta inayoshughulikia watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani, wakati Mkakati na Miongozo hii ilipoandaliwa ni kielelezo cha kujitolea kwao katika kazi yao na watoto hawa.
Majadiliano
Watumiaji wanaweza kujadili ripoti hii na kutoa mapendekezo kwa sasisho za siku zijazo. Lazima uwe umeingia ili kuwasilisha maoni.
Hakuna maoni
Join the conversation and
Become a Member Existing member loginbecome a member.